Rihanna ametambulisha manukato yake mapya RiRi akiwa amevalia kigauni cha pink ambacho kime buniwa na Vivienne Westwood ambacho kilionekana kwenye Runway ya Fall 2015 iliyo pewa jina Red Label Fall 2015. Je amekitendea haki kivazi hiki?
Selena Gomez nae hakua nyuma katika kutuonyesha umahiri wake kwenye mitindo ambapo alionekana kavalia gauni juesi lilibuniwa na gabriela cadena kwenye msimu wa fall 2015. ambapo kwenye Runway gauni hii ilivaliwa na boots wakati Selena yeye ameivaa na makobazi ya wazi.
Inawezekana usiwe unapenza sana nyimbo zake lakini inapokuja kwenye mitindo Rita Ora ana jua afanyacho katika kukabidhi Tuzo za VMAs Rita alivaa gauni jeupe na viatu virefu vya rangi ya almasi, gauni hii ilionekana kwenye runway ya Alexandre Vauthier ambayo iliitwa Alexandre Vauthier Fall 2015 Couture. Katika Runway mwanamitindo alivaa gauni hili na viatu vyeupe huku akiwa ameachia nywele wakati Rita Ora alibana nywele zake na kuvaa viatu vya rangi ya Almasi. Inaoneka Fringe ndo mtindo ulioingia mwezi huu.
Bella Thorne yeye alivalia pencil sketi kutoka Moschino Resort 2016
Dania Ramirez VMAs alivalia gauni kutoka Dora Abodi Spring 2015 ambayo iliitwa Printed Halter Dress, ambapo yeye aliongezea mkanda wa tumboni mweusi ambao uliendana na rangi ya viatu vyake.
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 6576 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wamezitendea-haki-au-lah/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wamezitendea-haki-au-lah/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wamezitendea-haki-au-lah/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wamezitendea-haki-au-lah/ […]