Slay, baby, slay. Tasnia ya mitindo, tukifocus katika modeling imetoka mbali, enzi za Miriam Odemba na Frank Gonga na twaiona ikiendelea kukua ikiwa na machipukizi wengi wazuri kama Smayra Mohammed na Symon Poluse.
2018 tumejionea models wengi wakiweza fanya vizuri nasi tukaona ni vyema kuwatambua kwa kazi zao iwe katika commercials, runway na hata beauty pageants. With the girls tunao
- Queen Mugesi – @queenmugesi
Akiwa na umri mdogo katika hii tasnia ameweza fanya vizuri, akiipeperusha bendera ya nchi yetu katika mashindano ya Miss Grand International na kututeka nyoyo zetu na vazi lake la ubunifu toka kwake mbunifu Makeke.
- Gertrude Kasala – @gertrude_kasala
Hakika ni moja ya models wenye catwalk matata sana na hata katika runway ya Swahili Fashion Week tuliweza muona akitawala kwa muondoko wake. Uso na urefu wakw pia wampa vigezo vyote vya kuwa mwanamitindo na twategemea kuona kazi zake akiwa amefanya na wabunifu mbalimbali kama Doreen Mashika kutoka Zanzibar.
- Sia Pius – @sia.pius25
Among models wakike ambao wameweza kujibrand na kutambulika basi Sia Pius ni miongoni mwao ambapo she has the looks pia catwalk nzuri.
- Jihan Dimack – @JihanDimack
Kila mwaka hakika Jihan ni miongoni mwa wanamitindo mabao hukuwa na kuweza ipaisha bendera ya nchi yetu. Twavutiwa na kazi zake, uzuri wake pia catwalk yake atembeapo katika runway.
MALE MODELS
- Miki Deo – @MikiDeo
Kijana mwenye ndoto kubwa katika tasnia hii siyekwamishwa na chochote, hata ugonjwa wake wa vitiligo. Ameweza wainspire vijana wengi kujiamini na kuzipigania ndoto zao. Hakika twamuona akifanya vikubwa zaidi 2019.
- Thom Nguka – @thom_nguka
Moja ya wanamitindo wanaoendelea kufanya vizuri sana nchini. Commercially tumeona shoots afanyazo na kwa hakika ana the selling face and body. Ni kijana mpambanaji na twamuona akifika mbali zaidi.
- Aaron Joseph – @official_ronny19
Wengi wanaweza mtambua kupitia his ad campaigns alizofanya na Coca Cola lakini ana vingine vingi ambavyo twaviona kwake, vikimtambulisha kama mwanamitindo ikiwemo muonekano wake commercially.
- Jaymes Ayoub -@jaymes_aloub
Ni mwanamitindo ambaye pia tumeona akiendelea kufanya vizuri katika tasnia hii na kazi zake nyingi tukiziona katika campaihn ads za makampuni mbalimbali oia katika runways Data Khanga na Swahili Fashion Week.
Imeandikwa na @Willibard_jr
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wanamitindo-8-walifanya-vizuri-2018/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 4516 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wanamitindo-8-walifanya-vizuri-2018/ […]