Toka mwaka uanze tumesha ona fashion madness nyingi lakini hii ime vuka mpaka, wana mitindo hawa kutoka Italy (italia) wali onekana katika tamasha la Venice Film Festival, Ni jambo moja kuchagua nguo ya kuvaa na ni jambo lingine kuimanage wakati una tembea katika red carpet
Giulia Salemi na Dayane Mellow wame pata aibu ya mwaka baada ya kuvaa nguo hizi zenye mipasuo mirefu na kushindwa kuzimanage zisifunuke,
Dayane Mello alivaa gauni ya pink ya kata mikono, akavaa gauni hili na belt la silver, isinge kua kwa mpasuo kuwa mkubwa tunge sema kapendeza mno lakini too bad upepo ulimuharibia shughuli maana nguo ilifunuka akawa ana hangaika kujifunika bila mafanikio
Giulia Salemi huyu alijiandaa kabisa kwa maana hii nguo kabla ya kuvaa lazima uwaze mara mbili, alivaa nguo hii iliyo acha nafasi kubwa ya maungio yake kuonekana na ina semekana ali trip na kila kitu kika baki wazi
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…