Mercedes-Benz Fashion Week inaendelea huko Accra Nchini Ghana, ambapo week iliyopita tuliona jinsi mbunifu Bijoux Trendy kutoka Tanzania alivyo show case mavazi yake katika event hio na jambo kubwa tulilo liona kutoka kwake ni kumpandisha model akiwa bra-less, lakini imeonekana si yeye tu ambae alipandisha model akiwa vifua nje wabunifu wengine mbalimbali wameonekana kupandisha Wanamitindo Jukwaani Vifua Nje Katika Mercedes-Benz Fashion Week 2018
Models wameonekana kupita jukwaani wakiwa vifua nje na ikatufanya tufikiri is showing nipples a new trend Africa? kwa malezi yetu ya ki-Africa hii si sawa lakini katika ulimwengu wa fashion hakuna limitation mwaka jana katika London Fashion Week top shop walipandisha wanamitindo wao nao wakiwa vifua nje ni kama dejavuu kutoka kwao au tuseme been there done that.
mbunifu kamana Felix yeye alipandisha collection yake ikiwa na huyu model, ambapo alivaa hilivazi likiwa lina onyesha maumbile yake ya ndani na kukiwa na kiasi kidogo cha nguo kimeficha kifua chake.
Wakati mbunifu CLAVON LEONARD yeye hakuna haja ya kuficha chochote ambapo model wake alipanda akiwa amevaa sheer floral pink dress inayo onyesha maungio ndani, na flashing them nipples ( chuchu), we have some Kendall Jenner & Gigi Hadid Models ambao wao wapo tayari kufanya chochote alimradi wanalipwa vyema.
Lakini wakwetu nae hakuwepo nyuma ambae yeye alimpandisha huyu model akiwa amevalia a statement shoulder necklace tupu bila chochote ndani na suruali ya batiki na turban ya batiki.
Je ninyi wenzetu mnaonaje hili? tumevuka mpaka au ni mamabo ya fashion?
Related posts
6 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wanamitindo-wapandishwa-jukwaani-vifua-nje-katika-mercedes-benz-fashion-week-2018/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 33028 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wanamitindo-wapandishwa-jukwaani-vifua-nje-katika-mercedes-benz-fashion-week-2018/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wanamitindo-wapandishwa-jukwaani-vifua-nje-katika-mercedes-benz-fashion-week-2018/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wanamitindo-wapandishwa-jukwaani-vifua-nje-katika-mercedes-benz-fashion-week-2018/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wanamitindo-wapandishwa-jukwaani-vifua-nje-katika-mercedes-benz-fashion-week-2018/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wanamitindo-wapandishwa-jukwaani-vifua-nje-katika-mercedes-benz-fashion-week-2018/ […]