Ni ngumu sana kwa mwanaume kunotice viatu vya mwanamke lakini ni kawaida ya mwanamke kuchunguza kila kitu ambacho mwanaume amevaa lakini mostly ni viatu. Kuna aina ya viatu ambavyo mwanamke akimuona mwanaume kavaa ana chukia na saa nyingine asipende hata kuongozana nae kwa sababu moja au nyingine. Kama kuwa out of fashion, kuwa kawaida au kuto endana na umri wa mhusika.
Converse
Japo kuwa converse ni timeless pear of shoes lakini kama wewe ni mwanaume ambae una umri wa kuanzia miaka 35 kuendelea kaa mbali na hivi viatu. Wanawake wana chukulia wanaume wa umri huu ni watu wazima wameshakua na wanahitaji kujielewa unapo vivaa ana kuona immature na attention seeker.
Flip Flops – Sandals za kama ndala
Japo viatu hivi vina wakaa vizuri wanaume lakini wanawake wengi hawapendi kuona wanaume wamevaa aina hii ya viatu moja ni kutokana na kwamba miguu ya wanaume (baadhi haivutii) lakini pia wanaume hawapendi kujali miguu yao. Kama wewe ni mwanaume na ungependa kuvaa viatu hivi basi hakikisha miguu yako ipo vizuri na pedicure ime husika.
Adidas Slides
Hivi kaa navyo mbali wanawake wanaamini viatu vya aina hii ni vya watoto wa shule na athletes kama wewe si mmoja kati ya tajwa hapo stay away from them.
Pointy Monkstraps/mchongoko
Please don’t, pointy monkstraps zipo out of fashion na in some way hazileti picha nzuri mguuni. Na wanaume wengi wanavalia hivi viatu suruali za kubanaits just wrong in so many levels please keep them away.
Square-toed Dress Shoes
Zili trend sana miaka ya 90 na we are glad ziliishia huko huko, tafadhali kuwa updated na fashion miaka hio vilipendwa sana lakini sasa hivi utaonekana mlugaluga & these shoes zinafanya mguu uonekane mrefu kuliko kawaida well women hates these shoes & so do we.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wanaume-hivi-ndivyo-viatu-vya-kuepuka-kuvaa-mbele-ya-wanawake/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wanaume-hivi-ndivyo-viatu-vya-kuepuka-kuvaa-mbele-ya-wanawake/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wanaume-hivi-ndivyo-viatu-vya-kuepuka-kuvaa-mbele-ya-wanawake/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wanaume-hivi-ndivyo-viatu-vya-kuepuka-kuvaa-mbele-ya-wanawake/ […]