1) juma Jux Na Vanessa Mdee
Hawa ndo wapenzi walio tisha zaidi katika sekta ya mitindo mwaka huu, Juma Na Vanessa wote ni wanamuziki na mahusiano yao yamedumu kwa muda sasa. Juma na Vanessa wanajua kujipangilia katika mavazi kama wapo pamoja au kila mmoja peke yake.
2)Zarina Hassan Na Naseeb Abdul
Zarina Hassan ni mfanya biashara wa Uganda na ana maduka yake sehemu mbalimbali Africa, Naseeb Abdul ni mwanamuziki kutoka Tanzania anae fanya vizuri zaidi Zarina na Naseeb ni moja kati ya wapenzi maarufu wanao jua kutendea haki mitindo. Wakiwa pamoja au kila mtu peke yake.
3) Wema Abrahamu Sepetu na Luis Imunana
Wema Abrahamu Sepetu kama ambavyo ana fahamika yeye ni Miss Tanzania 2006, Muigizaji wa Filamu pia ana kampuni yake ya kusimamia wasanii, Luis Imunana ana tokea Namibia ni mwanamitindo pia aliwahi kushiriki katika Jumba la Big Brother Hot Shot 2014. Hawa wawili waliingia katika mahusiano mwaka huu mwanzoni na wana itendea vyema sekta ya mitindo kwa sababuLluis ni mwanamitindo na meneja wa Wema ni Mbunifu mchanganyiko wao una leta radha safi kabisa katika mitindo.
4)Jokate Mwegelo na Alikiba
Jokate no mwanamuziki,Miss Tanzania (2) 2006 pia ni mmiliki wa kampuni ya Kidoti, Alikiba ni mwanamuziki wote kutoka Tanzania.
5) Idris Sultan Na Samantha Jensen
Idris Sultan ni mshindi wa Big Brother HotShot 2014 na ndipo walipo kutana na Samantha Jansen, Samantha anatoka Afrika kusini.
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wapenzi-wano-tisha-zaidi-katika-mitindo/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 14711 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wapenzi-wano-tisha-zaidi-katika-mitindo/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wapenzi-wano-tisha-zaidi-katika-mitindo/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 68189 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wapenzi-wano-tisha-zaidi-katika-mitindo/ […]