Jana ilikuwa siku ya kuapishwa kwa rais mpya wa marekani Dr. Joe Biden, watu maarufu mbalimbali walialikwa kutumbuiza katika sherehe hiyo. Watu kama Lady Gaga, Jennifer Lopez na Demi Lavato walitumbuiza katika siku hio, na kilicho tuvutia mpaka tukafikia kuandika hili andiko ni mavazi yao.
Sote tunajua mavazi ambayo Gaga anakawaida ya kuvaa, Jennifer Lopez na alkadhalika Demi Lovato lakini kwenye hii sherehe unaweza kuona kabisa wamebadilika na kuvaa mavazi yanayoendana na sehemu hio.
Kuna watu maarufu wengi ambao tunawajua wanaovaa mavazi ya ajabu hata kwenye hafla ambazo zinawataka kuvaa proffessional, sehemu kama
- Mashuleni
- kuchukua au kutangazwa kama brand ambassador wa kampuni fulani
- ubalozini
- Kutembelea wakina mama
- kutembelea wagonjwa hospitalini n.k
Chukua muda wako kuangalia uzito wa shughuli na kina nani unaenda kukutana nao, its a shame kwa msanii kutokujukulia uzito wa sehemu aendayo na mavazi anayoyavaa. 2021 normalize dressing according to occasion, weather and time.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wasanii-jifunzeni-kutoka-kwa-jlo-lagy-gaga-na-demi-lovato/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 22497 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wasanii-jifunzeni-kutoka-kwa-jlo-lagy-gaga-na-demi-lovato/ […]