Wasanii wengi hivi sasa wame jitumbukiza kwenye soko la biashara mbali mbali ukiachana na kazi zao za kawaida za usanii. Wengine wana maduka ya vipodozi, wengine nguo, viatu na kadhalika.
Lakini tumeona wasanii wengi wamejikita katika maswala ya mitindo ikiwemo kufungua biashara ya nguo zao wenyewe hii ime sababisha wasanii wengi na watangazaji wafanye biashara za kufanana.Si jambo baya maana kila mtu ana watu wake ambao wanaweza kumuungisha kila anachokifanya.Ni wazi wengi wanafanya biashara ya kuchapisha T shirts au clothing line.
Tumeona sasa Diamond Plutnamz,Bdozen,Weusi,Gentriez, jux na wengine wengi wamekuwa wakifanya biashara hii.
Narudia tena sio jambo baya maana ni katika kuongeza kipato cha maisha yao.Lakini hapa kuna haja ya wao kuweka/kutafuta wabunifu ambao wana uwanja mpana wa kujua zaidi kuhusu mambo ya mitindo.Kuna faida kubwa kama wataamua kufanya swala hili katika ngazi ya juu zaidi.Mbunifu anakuwepo kwaajili ya kubuni lakini brand inabaki kuwa ya msanii husika.
Kuna wabunifu wachanga wenye mawazo makubwa na uwezo mkubwa wa kubuni, badala ya kuchukua picha au neno likachapishwa kwenye fulana ni muda sasa wa kutoa ajira kwa hawa vijana na kupata radha tofauti Zaidi ya T-shirt na kofia au kwa ujumla mavazi ya kuchapishwa.
Ni wazi kama unahitaji kukua na kuonekana bora ni lazima uwe tofauti.
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you can find 11610 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wasanii-kuna-haja-ya-kutafuta-wabunifu/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 58595 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wasanii-kuna-haja-ya-kutafuta-wabunifu/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wasanii-kuna-haja-ya-kutafuta-wabunifu/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wasanii-kuna-haja-ya-kutafuta-wabunifu/ […]