Wafuatao ni watu sita walio itangaza Tanzania vyema katika ulimwengu wa mitindo
Millen Magesse ambae miaka ya nyuma alikua Miss Tanzania, Millen amepokea tuzo mbili kubwa mwaka huu kutoka BET na Nigeria kutokana na project yake ya kutokomeza endometriosis. Millen pia ame fanya na ana endelea kufanya kazi na makumpuni makubwa mbali mbali huko barani ulaya.
Herrieth Paul ni mwanamitindo kutoka Tanzania ambae ana ipeperusha bendera yetu vizuri katika ulimwengu wa mitindo, Herrieth amesha fanya kazi na makampuni mbalimbali Millan, New York, Paris na London Fashion week pia amefanya kazi na kampuni ya Balmain mwaka huu akiwa pamoja na wanamitindo maarufu kama Kendall Jenner na Gigi Hadid.
Dax Hans ni mwanamitindo wa kwanza wa kiume kutoka Tanzania ambae ame sainiwa na kampuni kutoka South Africa iitwayo Ice Model Management na hivi karibuni amesainiwa na kampuni nyingine kutoka New York kutokana na kazi yake nzuri Daxx maekua mfano bora na wa kuigwa kutoka kwa wanamitindo mbalimbali wa kiume hapa Nchini.
Diamond Platnumz ukiachana na muziki diamond pia yupo vizuri katika mitindo ameonekana akisifiwa na watu mbali mbali na pia hivi karibuni ameshinda tuzo ya most stylish couple akiwa aliteuliwa yeye na mpenzi wake kuwania tuzo hio huko Uganda, pia ameonekana akienda kwenye red carpet nyingi ndani na nje ya nchi akiwa amependeza na vijana wengi huiga anavyo vaa.
Vanessa Mdee pia ni kama Diamond ameshinda tuzo ya East African’s Best Dressed Female Artist huko Uganda ambapo amewapiku wengi kutoka Afrika mashariki.
Martin Kadinda mwaka huu amechukua Tuzo zaidi ya tatu lakini pia amechukua tuzo kubwa ya East African Fashion Designer Of The Year kutoka Uganda.
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…