Wakati sisi tukiwa katika utafutaji wa mamiss watakao shiriki Miss Tanzania mwaka huu na kisha kwenda kushiriki Miss World, wenzetu South Africa jana wamempata Miss wao wa mwaka huu ambae atashiriki Miss World. Hiki ni moja ya kitu kinacho tukwamisha kwamba tupo nyuma ya muda wenzetu wanapata ma-miss mapema na kuwaandaa mapema sisi tunasubiri hadi week moja kabla ya Miss World ndio tupate wa kwetu. Lakini hatupo hapa kuongelea hilo leo tupo kuangalia nani amevaa nini katika red carpet na sherehe nzima ya kumtafuta Miss South Africa.
Aliyeshinda Miss Sa ni tamaryngreen 😍
Kwanza kabisa tunaanza na host au mshehereshaji slayer kutoka South Africa, Bonang Matheba yeye alivaa outfit nne, katika hafla hii ambapo kati ya hizo nne tatu zimebuniwa na mbunifu Fouad Sarkis Couture aliyemvelisha mwanamitindo Miriam Odemba katika red carpet ya Cannnes 2018
Kuna so many details katika hili gauni na ukiligawa unaweza kupata magauni matatu au manne lakini limebuniwa vizuri na wala halijawa too much, went well with Bonang’s body
Gauni lingine lilikuwa la blue kutoka kwa mbunifu huyohuyo ilikuwa ball dress yenye mkono mmoja, amemalizia na big earrings na amebana vizuri nywele zake.
hapa akiwa in a red off shoulder dress ambayo alivaa na head piece kutoka kwa mbunifu oddcommoditiesny, alikuwa minimum na accessories she let the dress & head piece speaks
Gauni lake la nne lilikuwa shear & glitter cut out hands dress lenye rangi nyeusi, gold na sliver kutoka kwa mbunifu Steven Khalil, well hii gauni ni nzuri lakini isn’t the sheer dresses over now?
South African Slayer Pearl Thusi yeye alionekana kuvalia gauni la sequin lenye rangi nyeusi na silver kutoka kwa mbunifu : @casperdesigner
Accessories: @elegance_jewellers diamonds & Purse: @Gucci
Shoes: @europaart
Hair: @_blackpearlhair
Liesl Laurie Miss South Africa 2015 yeye alionekana akiwa amevalia hili gauni kutoka kwa mbunifu @roxannepengilly we love the upper part hii part ya chini hatujaielewa lakini mwenyewe kaivaa effortlessly
Miss South Africa 2011 na yeye alionekana kwenda ku-support Miss South Africa 2018, Melinda Bam alionekana kuvaa a white off shoulder dress kutoka kwa mbunifu @anelbothac, moja kati ya favorite outfit zetu usiku huu, ime m-fit perfectly
Miss South Africa 2017 Adè van Heerden
Kina kaka nao hawakuwa nyuma tumependa sana huyu mwenye green ni muigizaji Zweli Dube
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you can find 97850 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/watu-maarufu-wakiwa-katika-red-carpet-ya-miss-south-africa-2018/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/watu-maarufu-wakiwa-katika-red-carpet-ya-miss-south-africa-2018/ […]