Ni juma lingine tena tumelianza, week iliyo isha kulikuwa na matukio mengi na tumeona mitoko ya watu maarufu mbalimbali kuna ambayo ilituvutia na kuna ile ambayo ilituendea kushoto well tuone nani na nani wameingia kwenye list yetu ya waliopendeza
Miss Africa Tanzania ‘16 Julitha Kabete gave us 50 shades of blue in this slim fit blue dress, amemalizia muonekano wake na clutch,nude heels, hereni na perfect make up
Muigizaji na mwanamitindo Lucy Charles looke beautiful in a blue peacock bird dress, she rocked her natural hair low cut amemalizia na simple make up, she let the dress do the talking.
Muigizaji na mchekeshaji Idris Sultan tume m-spot akiwa amependeza amevalia blue trouser, na shirt akiwa amemalizia muonekano wake na sultan foremen shoes, white turban na saa na miwani (dope)
Mwanamuziki Wildad Agripa looked dope in deniom on denim outfit, amemalizia muonekano wake na trend fanny pack na beret we love love this look
We love this outfit kutoka kwa Diamond Platnumz na Rommy Jones so stylish and it screams celebrity
Young D looked smart wearing a blue trouser, pink shirt akiwa amemalizia muonekano wake na tie ya rangi ya damu ya mzee ambayo ame match na viatu na miwani. looking back to his style we must say anakua sasa.
Kwa ambao hawakutuvutia ni Wema Sepetu na hii gauni yake ambayo aliivaa katika kujitambulisha kama yeye ni ambassador wa star times, the dress is just okay not fitted for the event, tumemuona Wema kwenye press conference nyingi na anapendeza sana ila hapa tulicho penda ni make up na accessory nyingine zote ni Okay nothing wow about them.
Tuambie wewe nani amekuvutia week hii lakini pia usisite kututag katika mionekano tofauti ya mastaa.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/watu-maarufu-waliopendeza-na-kuharibu-week-hii/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 48545 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/watu-maarufu-waliopendeza-na-kuharibu-week-hii/ […]