Umepita muda mrefu tukiwa tuna jaribu kutafuta nani atakuwa woman crush wetu wa kwanza kwa mwaka huu na hapo ndipo Shekha Mozah Bint Nasser Al Missned alipo gonga katika vichwa vyetu
Well kutana na mke wa mfalme alopita wa Qatar Mfalme Hamad bin Khalifa Al Thani. Mwanamama huyu ni mke wa pili kati ya wake watatu wa Mfalme lakini leo tunazungumzia uvaaji wake uliotuvutia. Mwanamama huyu ni mama watoto watano mwenye umri wa miaka 57
Tunatambua Qatar ni nchi ya kiislamu yenye maadili lakini mwana mama huyu ameweza kufungua njia kwa uvaaji wake maridadi lakini wenye stara. Mwanamama huyu ni mwanadiplomasia ambaye hufanya kazi na mashirika mbalimbali nchini kwake na duniani kama UNESCO.
Sheikha Mozah ameweza kudhihirisha kuwa mwanamke aweza pendeza na kuvutia huku bado akiitunza stara yake. So kwa akina mama ama wanawake wanapata shida kupangilia mavazi huku wakiwaza wataweza jisitiri vipi mna weza kujifunza kupitia Sheikha .
Pia mwanamama mwenye watoto watano hakika anazidi kutupa funzo wakina mama kuwa umri na idadi ya watoto haizuii mtu kupendeza maana unadhifu na kupendeza ni kwa kila mtu.
Article by @willibard_jr
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wcw-sheikha-mozah-bint-nasser-al-missned/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wcw-sheikha-mozah-bint-nasser-al-missned/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wcw-sheikha-mozah-bint-nasser-al-missned/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wcw-sheikha-mozah-bint-nasser-al-missned/ […]