SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

#WCW TUNAJIFUNZA NINI KUTOKA KWAO.
Mitindo

#WCW TUNAJIFUNZA NINI KUTOKA KWAO. 

Ikiwa leo ni jumatano nyingine ambayo kama utapitia mitandaoni utakuta zime postiwa picha nyingi za wana wake na chini zime andikwa #WCW, WCW maana yake ni Woman Crush Wednesday ambapo wengi huwaweka wale wanawake wawapendao eidha ni familia, rafiki, au watu maarufu wanawake lakini je tunajifunza nini kutoka kwa hao watu? Leo sisi Tuna WCW watano ambao ni wanawake sita kutoka Tanzania wanao jihusisha na maswala ya mitindo na wana kampuni zao binafsi

SHEKHA MANJANO, Mmiliki wa shear Illusion na Luv Touch Manjano

cryVIGGc_400x400

Shekha ana miliki kampuni ya Luv Touch Manjano ambayo ina bidhaa mbalimbali za urembo ikiwemo powder, Lipstick na vingine vingi ukiachana na kumiliki kampuni hio shekha ana toa ajira kwa kina mama kwa kuwapa mafunzo ya kupaka make up ili waweze kujiajiri wenyewe.Screenshot_2015-11-15-00-52-51-1

TAUSI LIKOKOLA, tausi-finale

ni mwanamitindo wa kimataifa ambae kwa sasa ame pumzika kazi hiyo Tausi ni mmiliki wa TAUSI DREAMS na pia ana bidhaa za nywele, Tausi pia ni #WCW wetu kwa leo kwa sababu ana jituma lakini pia ametoa ajira kwa wanawake wengine.

SAM_9038

 

WEMA SEPETU, Miss Tanzania 2006 na mmliki wa Kiss by Wema Sepetu

wema-sepetu-1

Wema Sepetu ni muigizaji lakini pia alishawahi kuwa Miss Tanzania kwa sasa Wema anamiliki Lipstick ziitwazo Kiss By Wema Sepetu, ana faa kuwa WCW kwa kazi nzuri anayo ifanya.

FB_IMG_1446524984163

JOKATE MWEGELO Miss Tanzania (namba mbili) 2016 na mmiliki wa Kidoti Hair na sandals

10787964_366522540174910_1832990249_n

ukiongelea wadada wanao jituma Tanzania basi huwezi kuacha kumtaja Jokate ana miliki bidhaa za kidoti ambazo ni sandals na nywele, Jokate ni mwanadada anae jituma lakini pia ametoa ajira kwa wasichana wengine.

B8DaZ57IIAABM4k

Flaviana Matata Mwanamitindo wa kimataifa na mmiliki wa Lavy Nail Polish

84625, NEW YORK, NEW YORK - Tuesday September 25, 2012. Flaviana Matata attending the Fashion 4 Development First Ladies Luncheon at The Pierre Hotel in New York City. ***FRANCE & GERMANY OUT*** Photograph: ©Ralph, PacificCoastNews.com **FEE MUST BE AGREED PRIOR TO USAGE** **E-TABLET/IPAD & MOBILE PHONE APP PUBLISHING REQUIRES ADDITIONAL FEES** LOS ANGELES OFFICE:+1 310 822 0419 LONDON OFFICE:+44 20 8090 4079

 

Flaviana Matata ni mwanamitindo kutoka Tanzania ambae kwa sasa yupo kimataifa zaidi ana fanya kazi zake na makampuni mbalimbali nje ya nchi Flaviana hivi karibuni amezindua rangi za kucha ambazo ni bidhaa zake zinazo enda kwa jina la lavy.

 

blogger-image-1828789462

NASREEN KARIM Miss Tanzania 2008 ambae ana miliki bidhaa za ENJIPAI

29747_397105507187_4759073_n

Nasreen ni Miss Tanzania 2008 ambae ana miliki bidhaa za enjipai urembo wa kimasai, Nasreen ameweza kutoa ajira kwa kina mama wa kimasai na wakina mama wengine kutokana na bidhaa zake hizo.

Pop

Related posts

4 Comments

  1. golden teacher mushroom pins,

    … [Trackback]

    […] There you will find 69923 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wcw-tunajifunza-nini-kutoka-kwao/ […]

  2. maltipoodle

    … [Trackback]

    […] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wcw-tunajifunza-nini-kutoka-kwao/ […]

  3. Buy Golden Teacher Mushroom Online Sydney

    … [Trackback]

    […] There you will find 90905 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wcw-tunajifunza-nini-kutoka-kwao/ […]

  4. 토렌트 다운

    … [Trackback]

    […] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wcw-tunajifunza-nini-kutoka-kwao/ […]

Leave a Reply