SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

WCW’S: FLAVIANA MATATA, MILLEN MAGESSE, TAUSI LIKOKOLA, HERRIETH PAUL
Mitindo

WCW’S: FLAVIANA MATATA, MILLEN MAGESSE, TAUSI LIKOKOLA, HERRIETH PAUL 

Ikiwa ni Jumatano nyingine ya mwaka 2016, tunakuletea WCW (Woman Crush Wednesday) tunakuletea wanawake ambao wametumia vipaji vyao kujiajiri na wanailetea Nchi yetu Sifa nzuri, wanawake hawa wote wanne ni wanamitindo kutoka hapa Tanzania lakini pia wanme vuka nje ya Nchi na kufanya kazi na makampuni makubwa ya huko.

Flaviana Matata.

Flaviana-Matata-Essence-Magazine-Joshua-Pestka-03

ni mwanamitindo kutoka Tanzania amabe alianza kama miss universe Tanzania mwaka 2007, Flaviana ameweza kufanya kazi na kampuni kama WILHELMINA (NYC,Miami,LA & London) NEXT MODELS (Paris & Milan) BOSS MODELS (South Africa). Ana Foundation amabayo inasaidia watoto wa kike kiElimu na pia ameanza ujasiriamali wa kuuza rangi za kucha ambazo ni za kwake mwenyewe.

Herrieth Paul.

jiyoung-kwak-herieth-paul-helena-greyhorse-by-erik-madigan-heck-for-harpers-bazaar-uk-august-2014-10

Pia ni mTanzania nae mwanamitindo ambae kwa sasa anaiwakilisha Tanzania vyema zaidi, Herrieth ana miaka 20 tu na ameweza kufanya kazi na wabunifu wakubwa kama Diane von Fürstenberg, Lacoste, Tom Ford, Calvin Klein, Armani, Cavalli na 3.1 Phillip Lim, na hivi karibuni Herrith ametajwa kuwa sura mpya ya vipodozi vya maybelline.

Hapiness Millen Magesse

HappinessMillenMagese

aliwahi kuwa Miss Tanzania mwaka 2001 ambapo pia aliwaikilisha Tanzania katika Miss World mwaka huo huo, baada ya hapo Hapiness alihamia South Africa kufanya kazi zake ambapo alikuwa mwanamitindo wa kwanza kutoka Tanzania kusainiwa na kampuni kubwa ya Ford Modelling, Hapiness pia ana Foundation yake inayo saidia wanawake wanao sumbuliwa na Endometriosis ugonjwa ambao na yeye unamsumbua kutokana na kazi yake hiyo Hapiness ameshinda Tuzo ya ‘Global Good Award‘ mwaka jana.

 

Tausi Likokola.

Tausi Likokola

Tausi Likokola ni mwanamitindo ambae ame staafu kwa sasa, tausi amewahi kufanya kazi na wabunifu wakubwa kama as Gucci, Christian Dior, Tommy Hilfiger, Issey Miyake na Escada Tausi amefanya kazi pia na magazeti makubwa duniani, ukiachana na kazi hio Tausi ana kampuni yake ya nywele na perfume ambazo pia ameajiri wa Tanzania, Tausi ni mwandishi na ana NGO ambayo inasaidia Kuimarisha Elimu na Afya.

Related posts

5 Comments

  1. Guaranteed healthy puppies for sale in Nebraska

    … [Trackback]

    […] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wcws-flaviana-matata-millen-magesse-tausi-likokola-herrieth-paul/ […]

  2. go x scooters

    … [Trackback]

    […] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wcws-flaviana-matata-millen-magesse-tausi-likokola-herrieth-paul/ […]

  3. turner's outdoorsman

    … [Trackback]

    […] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wcws-flaviana-matata-millen-magesse-tausi-likokola-herrieth-paul/ […]

  4. Software for automation testing

    … [Trackback]

    […] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wcws-flaviana-matata-millen-magesse-tausi-likokola-herrieth-paul/ […]

  5. ufabtb

    … [Trackback]

    […] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wcws-flaviana-matata-millen-magesse-tausi-likokola-herrieth-paul/ […]

Leave a Reply