Kuna baadhi watakua wanamjua na baadhi hawamjui, lakini Amina Abdi Rabar linaweza kuwa si jina geni masikioni mwa wengi ni mtangazaji na mwanamuziki kutoka Kenya, lakini sisi tunamtambua Amina kama fashionista ni moja kati ya fashionable female presenters wa Afrika Mashariki.
Amina she can rock almost every thing, she is a dare haogopi kujaribu vitu vipya. Anapenda ku – accessories outfit zake lakini pia tulicho jifunza kutoka kwa Amina ni kwamba anavaa sana brand za kwao au tunaweza kusema wabunifu, brands na maduka ya nguo kutoka Kenya yanamvalisha Amina iwe akiwa katika kipindi ama events mbalimbali labda hiki ndicho kina sababisha aonekane smart mara kwa mara, well tuone tulizo zipenda kutoka kwake.
Hizi ni za hivi karibuni,
Talking about long & statement dresses, Amina anapenda kuvaa gauni ambazo zina kufanya uiangalie mara mbili & she does both neutral and colorful as long as its Fashionable.
This yellow dress is life
Short Dresses for the culture
Making statement with ruffle sleeves
Stylish & comfortable tumependa namna ame mix color blue & red never looked this better, and those colored shield glasses are fire.
Pull neck & pencil skirt are forever stylish and they look good on everyone, Amina ni moja kati ya watu wanaojua nini kivaliwe wapi na vipi.
Representing African Fashion kwa kuvaa kitenge, tumependa mshono wa kitenge na jinsi top ilivyo make statement on its own.
Her hair & make up are always on point and she always wear her beautiful accessory that is her smile, tuambie je Amina amekuvutia na wewe au kawaida?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/we-are-crushing-on-amina-abdi-rabar-styles/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/we-are-crushing-on-amina-abdi-rabar-styles/ […]