Kuna vingi ambavyo vinaendelea ambavyo havipendezi lakini vinapewa headlines sana kuliko vile ambavyo vinapendeza, hii ina fanya tasnia moja kuonekana haina uelekeo iendako wakati kumbe kuna yale machache mazuri ambayo yanafanyika ya yanaweza kutufikisha mbali kwa namna moja au nyingine.
Zamani ilikuwa ngumu kuona models wanene, waafupi au hata walemavu wakipewa nafasi kupanda katika majukwaa au kufanya commercial modeling lakini kwa sasa tunaona karibu kila pahali kuna diversity ya kuwa na aina tofauti za ma-model, Tukiongelea Tanzania tuliona mwaka jana mbunifu Samuel Zebedayo alivyo wapandisha plus size models katika swahili fashion week,
lakini pia tulimuona model mwenye ulemavu wa ngozi Miki Deo akipewa nafasi ya kupanda katika majukwaa mbalimbali ya fashion
Lakini kingine ambacho tumekiona ni kupewa nafasi models na miss wenye matatizo ya ngozi ( albinism ) katika Tasnia ya urembo tuliona Miss Tanzania Brigitte Alfred alivyo andaa event ya My Skin My Pride na kuwapa nafasi wenye tatizo hili kuwa models katika event hii, akiwa ana launch foundation yake ambayo ina deal na kusaidia wenye tatizo la albinism
Lakini pia tumeona katika mashindano ya Miss mwaka huu washiriki wao pia wameruhusiwa kushiriki wale wenye albinism pia na kuna ambae aliingia tatu bora
Na kuna wengine ambao wana onekana kufanya commercial modeling and they do good work kuliko hata hawa ambao tunawaaminia na kuwapa wafanye matangazo yetu, @magreth_salutary
Shining our light to the World. Picture By
with that been said lets say we dedicate this Friday to every model out there ambae ana tatizo moja au jingine iwe skin problem, mlemavu wa kiungo etc we are happy that your trying to do kile ambacho unaamini kina wezekana this is your time to shine. Na kwa wale wote ambao mnawapa nafasi wenzetu kutimiza ndoto zao you are the real one’s
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you can find 23571 more Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/we-are-loving-where-we-are-going-with-diversity-in-modeling-industry/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/we-are-loving-where-we-are-going-with-diversity-in-modeling-industry/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/we-are-loving-where-we-are-going-with-diversity-in-modeling-industry/ […]