Tunachopenda kwa sasa ni kuona Tanzania tunapata watu ambao wao wakosawa tu na ku-slay hata kama sio watu maarufu, wako tayari kuonyesha watu namna ambavyo unaweza kuwa mtu wa kawaida na ukapendeza truth be told kwa sasa Fashionista’s wapo wengi sana Tanzania. Moja kati ya fashionistas hao ni huyu mwanadada anaekwenda kwa jina la @sishkiki katika Instagram page yake na leo we are crushing on her styles.
- She keeps it trend but in her own style
Sishkiki ni moja kati ya fashionistas wanaojua style zao na mwili wao unataka nini, anavaa trensd things lakini pia anajua kufanya whats trending kuwa on her own way, sio kwa sababu Nicki Minaj kavaa basi na yeye avae vilevile hapana anajua kujipatia na mwili wake.
- Makes Her Wardrobe Useful In Any Occasion
Moja ya kitu ambacho huwa tunasifia ma-fashionistas ni uwezo wa kufanya kabati lako kugeuka mara kwa mara, mfano uwezo wa kuvaa blazer in official way, casual lakini pia hata ukiwa katika matukio makubwa bila watu kuboeka au kujua ni kitu kimoja.
- najua nini avae wapi
Tumekuwa tukilalamikia kuhusu hili watu wengi hawajui nini avae nini na wapi unaweza kuta mtu anaenda kwenye club appearance ame dress up na nguo ya red caarpet, red carpet ya mchana mtu anavaa mavazi ya usiku, well ni tofauti kidogo na Sishkiki yeye anajua kuvaa kulingana na sehemu.
we can’t wait to see more of her styles tumemuona katika vidoe mpya ya Young Dee she is making moves hopeful ataingia katika sekta ya mitindo soon.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/we-have-a-crush-on-instagram-fashionista-sishkiki-styles/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/we-have-a-crush-on-instagram-fashionista-sishkiki-styles/ […]