Week iliyopita Jumamosi ya tarehe 16.7.2022, Mwanamuziki Billnass na mpenziwe Nandy walifunga ndoa, na ni moja kati ya ndoa ambazo zimetikisa Nchi kwa namna moja au nyingine. Ikiwa ni harusi ya watu maarufu basi watu maarufu mbalimbali walihudhuria katika shehere hii na hapa tunaangalia wahudhuriaji walivaaje?
Irene Uwoya akiwa amevalia detached dress by Lizy Payless


Muigizaji Wema Sepetu akiwa amevalia yellow and gold look kutoka kwa Designed By Shuu


Muigizaji Auntie Ezekiel alimatch looks na Wema Sepetu wakiwa amevalia yellow and gold look kutoka kwa Designed By Shuu


Zamaradi Mketema yeye alikuwa in black & gold na yeye akiwa amevalishwa na mbunifu Designed By Shuu,


Photo Credit za Wema Sepetu, Aunty Ezekiel na Zamaradi Mketema ni Icon Tz
Shilole alikuwa in sleeveless dress ya pink kutoka kwa @jegasi_design


Linnah Onnah in pinkish high slit dress, hii bag haikuwa mahala husika


Meena Ally & Millard Ayo


Marioo By Martin Kadinda & Dogo Janja dressed by Marafiki Suits


Petit Man & Whozu in jm_international_collection


Nedy Music & Barnaba & Rich Mitindo & Dullah Makabila


Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wedding-guests-looks-from-nandy-billnasss-wedding/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wedding-guests-looks-from-nandy-billnasss-wedding/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wedding-guests-looks-from-nandy-billnasss-wedding/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wedding-guests-looks-from-nandy-billnasss-wedding/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 82746 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wedding-guests-looks-from-nandy-billnasss-wedding/ […]