Msanii wa kizazi kipya Ali Kiba ame ingia katika headlines mwisho wa wiki iliyo pita baada ya kuvaa kama mwanamke katika Lip sync battle Africa, Ali Kiba ambae alikuwa ana m-channel marehemu Brenda Fassie mwanamuziki kutoka South Africa.
Ali Kiba alibaa fringe skirt, akapakwa make up na kuvalishwa turban ya kipenge, kitendo hiki kili gawanyika mara mbili kuna ambao walimtetea na ambao walisema hapana mwanaume hafai kuvaa kama mwanamke hasa kwa msanii mkubwa kama yeye
Lakini Ali Kiba si mwanamuziki wa kwanza kuvaa hivi tulisha muona mwanamuziki Patrick Nnaemeka Okorie A.K.A Patoranking kutoka Nigeria yeye ali m-channel Mwanamuziki Nicki Minaj nae alivaa skirt ya pink, wig ya purple pia alipakwa make up we all know Nicki ana penda colorful staff
Je wewe upo upande gani kwa wanao kataa au wanao kubali? tuambie kupitia mitandao yetu ya kijamii
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/weekend-buzz-ali-kiba-kuvaa-skirt-katika-lip-sync-battle/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/weekend-buzz-ali-kiba-kuvaa-skirt-katika-lip-sync-battle/ […]