Kilicho jiri weekend hii ni kwamba mwanamuziki nguli na mbunge wa Mikumi, Joseph Haule au Professor Jay ame uaga ukapela (ame funga ndoa), wasanii wengi walihudhuria na kama kawaida ya Afroswagga huwa tunaangalia nani amevaa nini. Kiukweli wengi walipendeza lakini bado jinamizi kuto kupendeza lina mfuata Muigizaji Aunty Ezekiel
Siku ya kwanza alivaa hii gauni nyeusi ambayo inaonyesha kifua chake na ukiingalia utakumbuka kwamba hii gauni alisha valishwa fupi yake na aliongelewa kuwa hakupendeza lakini inaonekana stylist wake akaamua kuongezea urefu tu. Ni harusi na ina paswa kuheshimu siku ya mwenzio hatuja penda muundo wa vazi kifuani, lakini muundo wa gauni sio mzuri.
Gauni ambayo alisha wahi kuivaa inayo fanana na hio yajuu
siku ya pili alivaa gauni ya pink hii ilikua sare, amevaa kaba koo lakini pia kifua kipo wazi kwa umbo la aunty hili halikua chaguo sahihi na ameonekana kama amekuwa squeezed in imetufanya tufikiria je aliweza kupumua vizuri?
na haya ni baadhi ya maoni ya watu mbalimbali kuhusu mtoko wa Aunty Ezekiel katika sherehe hio
Je wewe unahisi Aunty amependeza au lah? tuambie kupitia mitandao yako ya kijamii
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/weekend-buzz-alicho-vaa-aunty-ezekiel-kwenye-harusi-ya-professor-jay/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/weekend-buzz-alicho-vaa-aunty-ezekiel-kwenye-harusi-ya-professor-jay/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/weekend-buzz-alicho-vaa-aunty-ezekiel-kwenye-harusi-ya-professor-jay/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/weekend-buzz-alicho-vaa-aunty-ezekiel-kwenye-harusi-ya-professor-jay/ […]