Weekend hii tukio kubwa la kimitindo lilikuwa ni Ally Rehmtullah kutimiza miaka kumi ya brand yake, yaani kutambulika kama mbunifu Ally Rehmtullah. Watu maarufu wengi walihudhuria na wengi walipendeza tunaweza kusema hili Tamasha lilitendewa haki, watu walikua simple, elegant & fashionable
Miss Tanzania 1998 alivaa hili gauni la blue alilo shonewa kutoka katika duka la Jacqueline Wolper (house of Stylish) likiwa inspired na gauni la Rihanna
Bijoux Trend alivaa Ruffle batiki dress kutoka katika collection yake mpya ya mapepe
Idris Sultan in Mtani Beskope Suit
Fifi Sugar Design akiwa ndani ya ubunifu wake mwenyewe “the short hair is life”
Salma Msangi akiwa ndani ya blue dress inaonekana blue ndio new black kwa sasa
Liliane Masuka she never disappoint akiwa amevaa hii blue dress kutoka kwa officialsalehhamimu
Jou Jou Nyaki akiwa amevalia two pieces suit tumependa viatu na kijipochi not sure na hio rangi ya nywele
Lulu tumependa alivyo kuwa mpya, suit is so elegant our favorite look kwa usiku ule
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/weekend-highlights-10-years-of-ally-rehmtullah/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 32921 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/weekend-highlights-10-years-of-ally-rehmtullah/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/weekend-highlights-10-years-of-ally-rehmtullah/ […]