Nandy ni mwanamuziki wa kike anae fanya vizuri kwa sasa,kuanzia nagusa gusa, one day na sasa wasikudanganye Nandy ana fanya vizuri na tunaweza kusema ni msanii ambae ana shirikisha sana wabunifu na stylist katika kazi zake labda kwa sababu ana penda mitindo au kwa sababu ana penda kupata kile kilicho bora “we love Nandy for that”
Nandy ametoa wimbo wake mpya unaitwa “wasikudanganye” na amefanya photo shoot ya wimbo huo bado hatujajua ni ya cover au ndio outfit zake katika video au ni photo shoot tu watu wakiwa wanampost watumie picha hizo vyovyote vile Nandy ame fanya photo shoot kwa ajili ya huu wimbo mpya na theme yake ilikuwa Cinderella.
Kwa mwili wake na jinsi alivyo concept ya Cinderella ilikuwa nzuri sana, kwa kuwa Nandy ana mwili mdogo tulitegemea nguo zinge mkaa na kumpendeza haswa lakini imekuwa tofauti. Nandy ana mwili mdogo juu hana tumbo hatuja jua kwanini haya magauni hayaja mfit vile inavyo takiwa magauni yame pwaya
una weza kuona hapo kifuani na tumboni gauni halija fit vile Cinderella dress ina takiwa kufit na worse part ni kwamba walio m-style na kumpiga picha hawakuliona hili wakapost hivyo hivyo tuna dhani kuna pini wangeliona hili wange mfunga pini kama photo shoot ime fika na muda mchache kuibana pini ingesaidia sana ukiachana na kupwaya kwa gauni tume penda make up na hair style very classic na hereni ni yes kwetu
Hapo juu alikuwa dressed na styled by
Stylist @noelgiotz
Dress 👗 @kikisfashion
Hairstylist @yohajonailbar
Makeup @monibeatsface
Pic @benardatilio
Ya pili nayo ilikuwa Cinderella dress ila hii alikuwa ame simama kwenye ngazi tena concept ni nzuri sana lakini hizi nywele kwanini? hair stylist ilikuaje hapa? bora mnge muacha na nywele zake nyeusi kuliko hii blonde
hair na makeup na gauni vime tofautiana gauni liko classy kwa hii makeup na hizi nywele, japo tumependa hio clown hapo juu ila ita a no to hair & makeup, tunadhani a nude make up ingefit vizuri zaidi na blonde isinge ng’aa hivyo
all in all nice concept na hapo juu alivalishwa na kuwa styled by
Stylist @noelgiotz
Dress @myweddingsolutions
Makeup @monibeatsface
Hairstylist @yohajonailbar
Pic @benardatilio
unaweza kutuambia umekipenda kipi na kipi ume kichukia kupitia account zetu katika mitandao ya kijamii
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 1180 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/weekend-highlights-nandy-na-cinderella-theme-photo-shoot/ […]