Embellished Jeans zpo kwenye trend kwa sasa, na pearled jeans zimeonekana kuwa favorite ya watu wengi kiukweli they makes you look so chic. Mitindo inakua kila siku tunatafuta namna ambayo kila mtu anaweza kuvaa mtindo fulani awe mnene, mwembamba,mrefu,mfupi,mweusi,mweupe, Islamic au Christian ili mradi kila mmoja wetu aweze kwenda na wakati (fashion knows no color or religion) .
Kwa hilo tumeona tuwaletee hizi weekend inspiration za pearled jeans ambazo una weza kuvaa weekend hii katika mizunguko yako ya hapa na pale.
Note: hakikisha hazikubani, kama ina kubana valia kimono, kaftan au shirt refu
unaweza kuvaa ankle pearled jeans na shit ya mikono mirefu, hijab na wedges (chic right)
Unaweza kuongezea accessories kama miwani na mikufu na stella mccartney shoes
Pearld jeans, t-shirt, heels na kaftan/cardigan
Casual? no worries pearled boyfrind trouser X sneakers
Unaweza kutupa maoni yako kupitia mitandao yetu ya kijamii
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…