Anaitwa Marianne Mdee, wengi tunamjua kama mimi mars na anajulikana instagram kama mimi_mvrs11 ni mtangazaji pia mc katika shughuli mbalimbali, ana julikana sana kutokana na kipindi chake cha the weekend gossip.
Mimi mars ni msichana anae jua kujipangilia ki mavazi na hii ndio sababu iliyo tufanya tuchukue baadhi ya mavazi yake na kuwaletea muweze kuiga kwa ajili ya weekend zenu
casual na crop top, boyfriend jeans, kijikoti ame accessorize na choker, glasses na heels
Casual kinyumba nyumbani Tuxedo dress na sneakerzĀ
Shot pants za jeans zipo in sasa hivi una weza kuvaa kama yeye au na crop top au body suit
Night look na Gold na short hair, loving everything on this look
blue shades japo ame risk mno lakini kapendeza
hii una weza kuvaa mchana na hata usiku katika hafla za kawaida kama birthday au dinner na marafiki
All black outfit tumependa hio leather mini-skirt, off shoulder top na heels ooh and the hair color ime boost the look
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…