Tunakuwa excited week ikianza na nyingine kuisha hii ni kutokana na kutaka kujua week hii mpya inatuletea nini na iliyoisha ilikuwaje, Leo tunakuletea weekly updates za nani alislay na nani alikuwa nje ya slaying zone kwa week iliyomalizika jana.
Stylist Rio Paul amemaliza week yake na hii casual look ambayo tumeipenda, amevaa two colors shirt nyeusi na blue ambayo ina pink touch’s, na blue jeans, miwani akiwa amemaliza na Gucci shoes. tumependa hii look amependeza without trying so much.
Vanessa Mdee hakuwepo nyuma ametupa all shades of weekend outfit goals akiwa amevaa a short pant, t-shirt na Gucci headband huku akiwa amemaliza na sneakers amemaliza muonekano wake na accessories kama miwani, necklace, saa na pete.
Lulu Diva & Billnas wametupa some couple goals weekend slaying wote wakiwa in t-shirt na jeans white kicks huku wakiwa wamemalizia mionekano yao na miwani na kofia, unaweza kuvaa hivi na mwenzi wako bila ku-match sana ila wote mkawa na chemistry katika outfit zenu.
Irene Uwoya in white shirt dress is our comfy goals kwa week end, tumependa alivyo style na see through shoes, ambacho hatuna uhakika nacho ni hio kofia hapo juu, it feels like haikuwa na ulazima au imekuwa forced kuwa hapo, but the outfit is perfect.
Nandy alikuwa colorful na hii outfit yake, tumependa jinsi ambavyo Joujou ame m-style Nandy, the Tuxedo dress juu akiwa amevalia na colorful cover up na amemalizia mtoko wake na red heels, sometimes you need that extra statement piece kufanya mabadiliko katika outfit yako.
let us know unadhani nani amekuvutia zaidi na outfit yake hapojuu
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/weekly-fashion-updates-kutoka-kwa-vanessa-mdee-nandy-na-wengine/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/weekly-fashion-updates-kutoka-kwa-vanessa-mdee-nandy-na-wengine/ […]