Juzi kulikuwa na Premiere ya movie ya Aunty Ezekiel iitwayo mama, watu maarufu wengi walihudhuria ambapo tulimtegemea pia mwanadada Wema Sepetu kwa bahati mbaya au nzuri alishindwa kufika katika premiere hiyo tunaita nzuri kwa maana angefunika wageni waalikwa lakini mbaya kwa sababu kashindwa kufika kum-support rafiki yake.
Kama kawaida inaonekana Wema na Aunty waliplan wavae sare ambapo walivaa Nigerian theme, Wema looked Absolutely Gorgeous on her outfit & makeup. Imebidi tutafute ni kabila gani la huko Nigeria huvaa hivi na tukagundua ni Wa-Yoruba ambao wao hupenda kuvaa exquisite clothing ambazo zina kiashiria cha hali na utajiri. Huvaa mavazi hayo katika matukio maalum kama vile harusi au mazishi.
Mfano wa Mavazi ya Kiyoruba ni
Gele – Hiki ni kitambaa cha jadi cha Nigeria ambacho wanawake hufunika kuzunguka vichwa vyao. Kuna tofauti nyingi za jinsi wanavyofunga Vitambaa hivi.
Wema yeye alivaa carrot color Gele yenye stones, hii rangi ime mpendeza sana Wema it goes with her skin tone
- Buba – Buba ni ile blouse ya juu ambayo huwa inakuwa loose kidogo na ina mikono mirefu, inaweza kuwa round au V neck. ambapo Wema yeye alivaa ya rangi nyeupe akamalizia na skirt yake ambayo ki-Nigeria huitwa Iro.
Wema alimalizia muoekano wake na a beautiful gold neck piece, alishika na feather hand fan uliyofanana rangi na gele lake na iko kitambaa alicho ning’iniza mkononi. We love this look on her it’s perfect done & worn
Hatuwezi kumaliza bila kutia neno kwenye make up yake, Makeup done by Lavie, we love love this make up.
Designer | @elisha.red.label
MUA | @laviemakeup,
Photographer | @benardatilio
Gele, Fan & Neck Piece… cc @theafricancharm @accessoriesbycrystal .
.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wema-sepetu-in-traditional-nigerian-clothing-yoruba/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wema-sepetu-in-traditional-nigerian-clothing-yoruba/ […]