Muigiazaji Wema Abraham Sepetu ame post picha zake mpya akiwa ame vaa gauni kutoka kwa mbunifu Elisha Red Label na tuna sema Wema should stick na Elisha, Mwaka jana katika black tie event alivalishwa na Elisha na ali break the internet kwa kupendeza na jumatatu ya leo amechukua number moja kwa kupendeza tuna subiri kama kuna mtu ata mfunika mpaka wiki ikiisha
Wema ame fanyiwa make up na lavie makeup (make up on fleek)
Gauni ni la black na Gold kutoka kwa mbunifu Elisha red label
Wema kawa styled na The stylist (we love the team combination stylist, designer,makeup artist na photographer every Tanzania celeb needs to take notes)
stylist @noelgiotz,
makeup artist @laviemakeup ,
designer @elisha.red.label ,
The Man behind the Camera @benardatilio ..
Related posts
7 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wema-sepetu-is-blessing-our-monday-in-elisha-red-label-dress/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wema-sepetu-is-blessing-our-monday-in-elisha-red-label-dress/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wema-sepetu-is-blessing-our-monday-in-elisha-red-label-dress/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wema-sepetu-is-blessing-our-monday-in-elisha-red-label-dress/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wema-sepetu-is-blessing-our-monday-in-elisha-red-label-dress/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 3361 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wema-sepetu-is-blessing-our-monday-in-elisha-red-label-dress/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wema-sepetu-is-blessing-our-monday-in-elisha-red-label-dress/ […]