February 14 dunia husheherekea siku ya wapendanao, ambapo wengi hupokea na kutoa zawadi lakini pia kutoka kwenda kwenye matembezi na kuvalia vyema. Watu maarufu mbalimbali huchukua muda wao kupiga picha na kutuonyesha nini wamevaa kwenye siku hio, na hawa ni baadhi ya ambao tumewaona.
fahyma served us two looks, long and short dress wakati Happiness Magese yeye alikuwa in co ord set
Lakini couples pia hazikuwa nyuma kutuonyesha namna ambavyo walisheherekea siku hii tulimuona G Nako na mkewe, Harmonize na Kajala lakini pia Vanessa Mdee na Rotimi
Tukitoka nje ya Tanzania tumeona watu maarufu kutoka Uganda, South Africa, Nigeria wakiwa wamesherekea siku hii kwa aina yake, Hapa tunao Spice Diana, Yemi Alade na Ini Dima-Okojie
South African’s wao walitu-serve some sexiness in lingerie, Mihlali Ndamase , Toke Makinwa & Ayanda Thabethe
well let us know which outfit was your favorite
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…