Lagos fashion week hufanyika kila mwaka kuanzia tarehe 26 mpaka 30 mwezi wa kumi, watu maarufu huwa wanhudhuria na kuangalia nini designers wameandaa na wengi wao hufika wakiwa wamependeza mno, na tupo hapa kukuletea kilichojiri mwaka huu na nani alivaa nini.
Designer Mimi Yina au Medlinboss akiwa kwenye hii pale orange blazer dress yenye statement neck piece, amemalizia muonekano wake na silver small handbag na pale orange heels, A Lewk. Prince Nelson Enwerem akiwa amevalia black and white look amemalizia na orange coverup, miwani na tie this is how you step on a fashion week. Alex Unusual yeye akiwa kwenye orange sequin mini skirt amemalizia muonekano wake na orange & white top yenye statement shoulders na brown bag & orange strap heels.

Content creator Nonye Udeogu yeye alikuwa in a black, white & pink look, Chioma Good Hair served couture akiwa amevalia full black look huku Idian Aisien akiwa amevalia full look ya blazer dress ya sequin.

Banky W & Adesua Wellington matching looks as a wifey & hubby, Tubobereni looked chic in a blue look wakati Olivia Arukwe akiwa ame mix pink & green look.

Tuambie look ya nani umeipenda zaidi?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…