Umeshasoma articles nyingi sana za kitu gani uvae katika job interview ila tumesahau kukumbusha vitu gani hautakiwi kuvivaa. Haijalishi unaenda kufanya interview kwenye aina gani ya kampuni, cha muhimu kufanya ni kujua ni aina gani ya interview unayoenda kufanya. Kwenye job interview hivi ni vitu vya kuepuka
• Heavy perfume or cologne
Asikuambie mtu kama kwenye mazingira ya kawaida tu mtu akiwa kapaka too much perfume or cologne anakukera je kwenye job interview itakuwaje. Kitu cha kwanza ni kupaka cologne ambayo itakufanya uwe unique na haitomkera mtu. Too much perfume inaweza ikakufanya ukose kazi. Kuna kitu ambacho hamjui cologne or perfume inamtambulisha mtu kwa jinsi gani anavyonukia so ukinukia too much itakufanya wakujudge vibaya na ukose kazi kitu cha muhimu nukia vizuri na kawaida.
• A lot of accessories
Accessories ni muhimu sana kwenye interview but sio nyingi kama mwanamke anayejielewa na kujua professionalism yake basi anatakiwa akienda kwenye interview hatakiwi awe too much accessories unaenda kwenye interview ya kazi na sio matembezi ya kawaida au harusini, hakikisha unavaa accessories simple tu. Vaa simple saa simple, minimum accessories kama mkufu, hereni au bangili. Just imagine umeenda kwenye interview umevaa macheni kama matano, bracelet tano na watches kwa akili ya kawaida tu hata awe nani lazima akudefine vibaya so try to avoid a lot of accessories.
• Wrinkled, torn, or ill-fitting garments
Hizi aina ya nguo zinafanya uwe distracting and give the impression that you are not detail-oriented. Avoid garments that feel uncomfortable or restrictive, unatakiwa uvae vitu ambavyo utakuwa able to move comfortably and confidently during the interview. Nguo za michano yani crazy jeans na nguo zenye mikunjo mikunjo ni vitu vya kuepuka sana.
Pia usisahau kuvaa nguo ambazo hazitokubana sana na kukufanya uwe flexible na kufanya chochote kwenye interview maana unaweza ukaulizwa hobbies zako ni zipi ukasema sport ukaambiwa ukimbie na ukashindwa.

• An outfit that doesn’t match the brand or culture of the company you want to work for H
iki ni kitu muhimu sana cha kuangalia katika interview hauwezi ukaenda kufanya job interview sehemu ambayo haujui wanavaa aina gani ya nguo au na culture ya kudress aina gani ya nguo. Unatakiwa ujue in deep hiyo organization wanapenda mtu avae aina gani ya mavazi hauwezi kwenda kwenye interview ya fashion blog ukavaa kama unaenda kuomba kazi hotelin so consider outfit ambayo inaendana na hio company.
• A combination of radically different patterns, colors, textures
Katika kitu cha kizingatia sana kwenye interview ni hiki usiwe umevaa nguo yenye marangirangi mengi na iwe na patterns nzuri na inayompendeza kila mtu wa kila lika hauwezi ukaenda kwenye interview upo colorful tena kwa rangi ambazo hazija pangiliwa vyema utaonekana wa ajabu sana na mtu ambae haujielewi.
• athletic shoes
Kuna baadhi ya watu wwanachukulia poa hawajui aina ya shoes basi usivae, athletic shoes kwenye interview please kwa sababu utaonekana ni mtu wa ajabu. Unatakiwa ujiandae vizuri kwa kuvaa viatu mbavyo ni classic na kuonekana upo smart kwa watu wanaokuuliza maswali ya interview.
Kuna vitu vingi sana ambavyo hautakiwi kuvaa kwenye job interview ila hivi ni baadhi ambavyo vitakufanya uondoe attention mbaya na kukufanya uwe na confident kipindi unaenda kufanyiwa interview kwa sababu unajua upo perfect.
Imeandikwa na @gotchathegreatest
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…