Ni siku chache zimebaki kufika siku ya Tanzania Red Ribbon Fashion Gala, kwa wale ambao hamjui hii event inahusiana na nini, Event hii ilianzishwa mwaka 2007 na mbunifu Khadija Mwanamboka. Lengo kubwa la hii event ni kusaidia kuhamasisha na kusambaza taarifa kuhusu World Aids Day kupitia Fashion Na Pesa Zinazopatikana Zinaenda Kusaidia Kuwapa Ujuzi Watu Wenye Ulemavu Pamoja Na Wenye Uhitaji.
Dress code katika hii event ni formal black Or red wakati kwa wanaume ni red tie au red blazer, tupo hapa kukuonyesha ideas za nini unaweza kuvaa katika hii event. Ikiwa ni event ya charity tungekuomba uepuke kuvaa mavazi ya ajabu ni more of a classy event na tunategemea classy looks.

- Je unahitaji kuvaa gauni refu mpaka chini?
Hapana si lazima kuvaa gauni refu mpaka chini lakini pia haikatazwi kama ukitaka kuvaa unaweza kuvaa, kuna option mbalimbali kama lifikie magoniti au juu ya magoti ( kama upo comfortable), unaweza kuvaa mid length etc hakikisha iko formal na ni comfortable.

Kama ungependa kuvaa gauni refu basi liwe na slight train au dipped hem at the back usiweke train ndefu utadhani ni look ya award ceremony

- Lakini je nilazima uvae gauni?
Si lazima uvae gauni unaweza kuvaa chochote kutokana na upendavyo ila tu uende na theme na hio ni formal dress or black or you can do both.

Note: Kumbuka kutokuwa too formal wala too much be in the middle.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 64324 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/what-to-wear-to-tanzania-red-ribbon-fashion-gala/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/what-to-wear-to-tanzania-red-ribbon-fashion-gala/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/what-to-wear-to-tanzania-red-ribbon-fashion-gala/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/what-to-wear-to-tanzania-red-ribbon-fashion-gala/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/what-to-wear-to-tanzania-red-ribbon-fashion-gala/ […]