Kinacho onekana kushika akili za watu katika swala zima la mavazi sasa hivi ni bralette na suit, kwa wale ambao hamjui bralette ni nini, Bralette ni zile blazia zisizo kuwa na wire na zile cups za kuboost maziwa hizi ni nyepesi japo kuna nyingine nzito lakini nyingi ni nyepesi na kitambaa chake ni cha lace.
Back to Bralette na suit ni kwamba ukiwa una pitia mitandao ya kijamii kila uki scroll down una kutana na mtu kavaa kwetu tuna sema yes to this trend kwa sababu ina pendezesha watu efortless yaani haina mbwembwe nyingi lakini pia kama una tumbo kubwa usijaribu kuvaa labda kama utafunga vifungo in which ina bidi uwe more stylish na jinsi utakavyo style ili brallete ndani ionekane hawa ni baadhi ya walio tuvutia na trend hii
Seretix ambae ni Fahionista pia ameonekana ku stand out na trend hii kwa kuvaa mix up prints ambayo imekaa kama suit na bralettte nyeusi
Make up artist na fashionista Fauzia Abdulkadir A.K.A fawwie yeye alionekana in creamy satin suit na blarette nyeusi we love love this look on her, ame accessorize less, make up ipo on point na the bun up ime fanya uso wake uonekane vizuri kabisa nothing less nothing more just perfect
Karrueche yeye ali vaa trend hii na satin suit nyekundu aka match na bralette yake ila bralette rangi ika koza kidogo hapa alikuwa ame attend katika the 2017 iHeartRadio Music Awards
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/whatstrending-suit-x-bralette/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/whatstrending-suit-x-bralette/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/whatstrending-suit-x-bralette/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/whatstrending-suit-x-bralette/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/whatstrending-suit-x-bralette/ […]