Kitu kimoja kuhusu trends ni kwamba zinajirudia, the white sneakers zilipotea kuna kipindi lakini zimerudi tena kwa kasi ya 4g, kila fashionista, watu maarufu na watu wa kawaida wameonekana kuvutiwa na trend hii, we are loving this new edition ya jinsi zinavyokuwa styled namna tofauti tofauti hasa zinavyo valiwa na suit, just perfect.
Kitu kikubwa ambacho tumeipendea hii trend ni kwamba inaingia katika jinsia zote wanaume kwa wanawake wote wameonekana kuvutiwa nayo na kuvaa hivi viatu
Unaweza pia kuvaa casual na suruali, short pants skirt au gauni pia,
Tumesha waona watu maarufu mbalimbali wa ndani na nje ya Nchi wakiwa wamevutiwa na trend hii
Diamond Platnumz yeye alionekana akiwa amevalia trend hii na floral two pieces akimalizia na denim jacket
Wengine walionekana kuvalia hii trend ni mwanamitindo Flaviana matata ambae yeye ameonekana kuvivaa mara nyingi awezavyo
ma-model Lilian Loth na Sia Pius nao hawakuwa nyuma katika kustyle trend hii
Well tulipewa tip na homehouseofshoes_tz ya jinsi ya kuvijali viatu hivi soma hapo chini
View this post on InstagramA post shared by House Of Shoes (@homeofshoes_tz) on
Related posts
HOT TOPICS
The Hardest Part Of Being A Nigerian Bride Is To Comeup With A Bride Look That Wont Match With Any Of The Guest’s A… https://t.co/8vfNPS0IYg
FollowItaly Kumekucha Afromates #TheKardashian #TheKardashian wapo huko kwaajili ya the wedding of the year. Haya mnasubiri lo… https://t.co/kENoAG9RQg
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…