Moja kati ya trend kubwa kwa miaka ya 70 ilikuwa bwanga, ambazo juu zimebana kidogo na chini zimeachia. Trend hii ilionekana kwa wote wanaume kwa wanawake, wengi walikuwa wakiziita juu nibanie chini niachie. Kama ambavyo tunajua fashion ni kama duara huwa inazunguka inaenda na kurudi, mitindo mingi ya miaka ya zamani inaonekana kurudi na hata kama sio ku-trend basi wengi wanajaribu kuwa wa tofauti kwa kuzirudisha tena mara chache chache.
Tume wa-spot mwanamuziki Nedy Music na Stylist Noel Ndale wakiwa wamevalia hizi 70’s bwanga & we couldn’t help but ask nani amevaa vizuri hii trend ya miaka ya 70.
Tulimuona stylist Noel Ndale mwaka jana mwishoni katika Grey Carpet ya Swahili Fashion Week, akiwa amevalia hii gray bwanga, akiwa amemalizia na T-shirt nyeupe pamoja na blazer nyeupe.
Wakati tumemuona Neddy Music mwaka huu akiwa amevalia bwanga inayofanana sawa na ile ambayo ameivaa Noel, Nedy amevalia hii bwanga na t-shirt nyeupe, ambazo ame match na viatu vyake huku akiwa amemalizia na accessories ndogondogo kama kofia, mkufu, hereni, saa, bangili pamoja na kamba ya kiatu nyeupe aliyoifunga kama mkanda kiunoni.
Afromates mnadhani nani ameitendea haki hii trend? Noel Au Neddy? tuambie kupitia box letu la comment hapo chini.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/who-rocked-these-70s-men-silhouette-trouser-better/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/who-rocked-these-70s-men-silhouette-trouser-better/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 33440 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/who-rocked-these-70s-men-silhouette-trouser-better/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 44811 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/who-rocked-these-70s-men-silhouette-trouser-better/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 52393 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/who-rocked-these-70s-men-silhouette-trouser-better/ […]