Umepita muda kidogo tokea tumeona ma-fashionista wamevaa mavazi ya kufanana, lakini imeonekana ni ngumu kukaa bila kuvaa mavazi ya kufanana hasa pale kinapo tokea kitu wote mkakipenda well huwezi kuwa na macho ya kitu kizuri peke yako.
Leo tume waona mafashionista Jokate Mwegelo kutoka Tanzania na ChicAma na Karen wakiwa wamevalia gauni la ina moja kasoro rangi tu ndio hazifanani.
Jokate ni mwanamitindo,fashionista na mjasiriamali ameonekana akiwa amevalia gauni hili likiwa na rangi nyeusi na mwenyewe anasema limetoka kwa mbunifu jacquescollection , Jokate alivaa gauni hili na nude pumps, akabeba fur clutch huku akiwa amemalizia muonekano wake na simple accessories
Fashion Blogger Chic Ama yeye alivaa gauni hili la rangi nyekundu,pumps nyekundu akiwa ame accessories na miwani,clutch,mkufu na bangili.
Wakati Fashion Blogger Karen kutoka blog ya living my bliss instyle, alivaa gauni hili la rangi ya njano, amevalia na pumps nyeusi akiwa ame accessories na hereni,miwani, pete na bangili
je yupi amekuvutia zaidi kati ya hawa watatu? tuambie kupitia Instagram, twitter au facebook.
Related posts
6 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/who-rocked-this-bowed-bell-dress-better-kati-ya-jokate-chic-ama-na-karen/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/who-rocked-this-bowed-bell-dress-better-kati-ya-jokate-chic-ama-na-karen/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/who-rocked-this-bowed-bell-dress-better-kati-ya-jokate-chic-ama-na-karen/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/who-rocked-this-bowed-bell-dress-better-kati-ya-jokate-chic-ama-na-karen/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 77575 more Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/who-rocked-this-bowed-bell-dress-better-kati-ya-jokate-chic-ama-na-karen/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 70873 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/who-rocked-this-bowed-bell-dress-better-kati-ya-jokate-chic-ama-na-karen/ […]