SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Why It Is Not Okay For Celebrities To Wear Fake Staffs
Mitindo

Why It Is Not Okay For Celebrities To Wear Fake Staffs 

Imekua tabia sisi kama fashion agents tukiona watu maarufu wamevaa fake brands (wana vaa vitu vya kufyatua), tunakua wa kwanza kuwasema kwamba wamevaa vitu fake, lakini kuna msemo unasema fake it till you make it.

Juzi tumemuona mwanamuzi Nandy akiwa amevalia viatu kama ambavyo Rihanna alivivaa kwenye wimbo wake na Dj Khaled wild thoughts, Hivi viatu ni collection ya Rihanna X Manolo Blahnik ambayo iliitwa So Stoned Collection,

hatukaa vizuri tukamuona Hamisa katika viatu hivyo hivyo hapo tuka wonder je ni OG? too bad wafyatuaji wa sasa si kawa wa zamani zamani ilikuwa rahisi kutofautisha Original na Fake sasa hivi unaweza kununua fake kwa bei ya OG huku ukiwa hujui ni fake

Viatu vya manolo original vilikua vinauzwa $2325 lakini kwa sasa vinauzwa $1635 ambayo ni sawa na tzs 3’597’000, Kama ni Original basi mziki na uanamitindo unalipa bongo tusitaniane.

Related posts

2 Comments

  1. roof skylight

    … [Trackback]

    […] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/why-it-is-not-okay-for-celebrities-to-wear-fake-staffs/ […]

  2. testosteron enanthate 250mg

    … [Trackback]

    […] There you can find 97277 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/why-it-is-not-okay-for-celebrities-to-wear-fake-staffs/ […]

Leave a Reply