Mwanamuziki wa kimataifa anaetokea Nigeria Wiz Kid Ayo ametembea katika Runway ya mbunifu mkubwa Dolce And Gabanna, Wiz Kid ambae alionekana mara kadhaa akiwa na mwanamitindo Naomi Campbell kabla ya kutembea nae pamoja katika runway hii.
Wiz Kid Ayo amekuwa msanii wa kwanza kutoka bara la Africa kutembea katika runway ya dolce & Gabanna
hii ni collection ya Dolce & Gabbana SS19 ambayo ilikuwa debuted katika Menswear show, Milan, Italy.
Wiz Kid alitembea katika runway hii akiwa amevalia mavazi meusi ambayo yame dariziwa na urembo wa gold, kumaliza muonekano wake Wiz Kid alivalishwa T-shirt nyeupe kwa ndani na Mask kama accessory.
Wiz Kid amefanya collabo na wasanii mbalimbali wakubwa akiwepo Drake, na anaweza kuwa amefungua milango kwa wasanii wengine kutoka Africa kutembea katika runway kubwa kama hii.
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…