Wakati sisi wengine tukiwa bado hata hatujaweza kupata mkononi collection ya 2017 ya Chanel, Mwanamuziki kutoka Nigeria yeye kashajipatia sneakers zake za current collection kutoka kwa brand ya Chanel,
Viatu hivi vilikuwa katika collection ya spring – summer 2018, ni sneakers ambazo zinarangi nyeupe na orange, zinauzwa $1,200 sawa na TzsĀ 2,730,120.00/-
Wiz Kid alivaa chunky sneakers hizi na all white outfit na side bag, the shoes was a statement on his outfit.
Well Wiz been rocking big brands this days and we can’t forget his modeling debut on Dolce & Gabanna Runway
Wiz Kid Ayo Katika Runway Ya Dolce Gabanna Akiwa Na Naomi Campbell
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 61343 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wizkid-ayo-rocked-1200-chanel-sneakers-from-spring-summer-2018-collection/ […]
smooth jazz
smooth jazz
… [Trackback]
[…] There you can find 88097 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wizkid-ayo-rocked-1200-chanel-sneakers-from-spring-summer-2018-collection/ […]