Week nyingine tena, hustle nyingine tena. Lakini una wezaje ku hustle huku hauja pendeza? haiwezekani hata wale matapeli huwa wana pendeza kweli kweli na ndio maana huwa wana aminika kiurahisi waki sema wana millioni mia kwa ule muonekano wao smart lazima uingie mkenge (hatu influence wizi) maana yetu ili ukubalike na uaminike muonekano una changia pia. Siku hizi hata madalali wa mbezi na gongo la mboto nao mionekano yao ina pishana.
Well besic is boring unaonaje week hii tuka jipimp kidogo kinamna nyingine? haya hizi ni work outfit ideas za week hii
Front slits skirts (skirt zenye mpasuo kwa mbele) zipo kwenye trend kwa sasa una weza kujaribu kuvaa kuwa muangalifu na uchaguzi wa rangi lakini pia mpasuo usizidi sana.
well suited up
flared skirts nazo bado zina tamba mtaani una weza kuchagua ya rangi moja, polka dots au hata floral
keeping it simple with a pop of floral blazer
tume penda jinsi alivyo arrange hizo rangi
ni matumaini yetu umepata moja au mbili za kuvaa katika week yako, have a blessed week until next week
Wasiliana nasi kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswagagtz
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/work-outfit-ideas-3/ […]