Brand ya mavazi iitwayo Unravel Project’s amabayo inasifika kwa kuleta bidhaa za ajabu ajabu imedebut jeans ambazo zimetengenezwa kuvaliwa nje ndani, yaani vile vyote ambavyo vipo ndani ya jeans vinakuwa nje na vilivyo nje ya jeans katika jeans hio kunamaandishi yanayo someka “To create something new, you must first destroy.”
Hizi jeans zinauzwa $900 sawa na T-sh 2,036,565.00/- well inaweza kuonekana ajabu na ukajiuliza nani atavaa? wapo ambao wamevutiwa nazo na wame vaa mmoja wapo akiwa huyu Fashion blogger ,Content creator, Fashion Influencer kutoka Tanzania Nancy ambae ni mmilikiwa Own Look clothing line
One On One With Nancy Own Look Clothing Line Owner
Yeye alivalia jeans hii na floral shirt na miwani, hatuna uhakika kama ni jeans ya Unravel Project’s au yeye ameamua kugeuza ya kwake, kwetu amependeza ame jaribu tuambie wewe je utathubutu?
Related posts
7 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/would-you-dare-to-wear-your-jeans-inside-out/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/would-you-dare-to-wear-your-jeans-inside-out/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/would-you-dare-to-wear-your-jeans-inside-out/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/would-you-dare-to-wear-your-jeans-inside-out/ […]
jazz cafe
jazz cafe
heavenly harp music
heavenly harp music
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/would-you-dare-to-wear-your-jeans-inside-out/ […]