Kama na wewe ulikuwa moja wa watu walioudhuria katika Onesho la mitindo “Fashion For Peace” lililofanyika katika ukumbi wa King Solomon Hall uliopo Namanga Jijini Dar es salaam, basi kwa hakika utakuwa umefurahi vya kutosha kwa jinsi onesho zima lilivyoandaliwa na kutekelezwa kwa ujumla kuanzia mwanzo watu walipokuwa wakiingia, wabunifu kuonyesha ubunifu wao kupitia mavazi waliyayabuni katika kuhamasisha amani ya nchi yetu hususani katika kipindi hiki cha uchaguzi, hakika walifanya kazi ya ziada katika kufanikisha hilo. mbali na yote binafsi nmefurahishwa namna walivyoweza kuzitumia rangi zilizopo katika bendera ya Taifa letu katika kubuni mavazi yao na hata kufikia burudani ya ngoma iliyotolewa.
Lakini kama wewe ni miongoni mwa wachache waliokosa fulsa ya kujumuika na mamia ya watanzania waliojitokeza katika Fashion For Peace kwasababu tofauti tofauti, wala usitie shaka AfroSwagga tumekutayarishia kila kitu ambacho ulikikosa siku ile.
Najua unakiu ya kutaka kujua nini kilijiri na wabunifu walibuni mavazi ya aina gani. AfroSwagga imekuletea picha za mavazi ya wabunifu wote walioshiriki (Mustafa Hassanali, Kiki Zimba na Martin Kandinda..
Kutazama picha za mavazi yote yaliobuniwa na Mustafa Hassanali Bonyeza >>hapa.
Kutazama picha za mavazi yote yaliobuniwa na Kiki Zimba Bonyeza >>hapa.
Kutazama picha za mavazi yote yaliobuniwa na Martin Kadinda Bonyeza >>hapa.
Picha zote na mpiga picha wetu: @Batro15.
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/yaliyojiri-fashion-for-peace/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/yaliyojiri-fashion-for-peace/ […]