Alfajiri ya kuamkia leo kwetu Africa kwa wenzetu usiku kulikuwa na Tuzo za Oscar ni moja ya Tuzo kubwa sana huko kwa wenzetu ambapo wasanii au watu maarufu mbalimbali wana attend as usual sisi huwa tunaangalia red carpet na nini kimejiri cha tofauti katika swala zima la mitindo well makubwa yaliyo onekana ku catch macho ya watu ni Tiffany Hadish kurudia gauni lake kwa mara 3 katika event tofauti unaweza kusoma hapa, lakini pia Lupita Nyongo kueka hair style inayo wakilisha kabila moja kutoka Rwanda, click hapa kusoma.
Pia Rita Moreno Muigizaji, Mchezaji na mwanamuziki kutoka Porto Rico amarudia gauni lake alilolivaa mwaka 1962 katika tuzo hizi hizi za Oscar, mama huyu mwenye miaka 70 bado ana fit katika gauni lake hili na unaweza kupiga mahesabu she waited for 56 years kuvaa tena hili gauni, ameongezea touch’s za sasa katika ku-style gauni hili ili kwenda na wakati.
Waigizaji Danai Gurira na Saoirse Ronan walivyo vaa almost same dress lakini kutoka kwa wabunifu tofauti, gauni ina mkato sawa, rangi sawa tofauti tu ni kwamba nyuma mmoja imewekwa bow na nyingine marinda.
Danai Gurira yeye alivaa hili gauni kutoka kwa mbunifu Gabriela Hearst, ni baby pink dress ya kata mikono, she rocked her low cut hair style ame accessorize na choker, bracelet iliyo match na choker na hereni.
Wakati Saoirse Ronan yeye alivaa gauni ya pink kutoka kwa mbunifu Calvin Klein , yenye bow nyuma alichagua ku- accessorize na minimun accessories huku akimalizia muonekano wake na blonde bob hair style na pink pumps.
Tuambie kati ya wawili hawa nani ame vaa vizuri zaidi gauni hili?
Na hii ndio red carpet ya Oscar mwaka huu our best dressed
Jane Fonda
Zendaya
Elisabeth Moss
Jennifer Garner
Gal Gadot
Nicole Kidman
Salma Hayek
Jennifer Lawrence
Margot Robbie
Taraji P Henson
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/yaliyojiri-oscar-2018-the-90th-academy-awards/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/yaliyojiri-oscar-2018-the-90th-academy-awards/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/yaliyojiri-oscar-2018-the-90th-academy-awards/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 83189 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/yaliyojiri-oscar-2018-the-90th-academy-awards/ […]