Inawezekana wewe ni mmoja ya wale ambao wanapitia hii hali,unadhani huwezi kupendeza au kuonekana classy kazini kama hutovaa heels, kiukweli unaweza kuvaa flats na ukaonekana classy.
Well leo tupo hapa kukupa tips za namna ambavyo unaweza kuvaa flats kazini
Kuna option mbalimbali za flats ambazo unaweza kuvaa kama Open sandals, sling back, pointed toe sandals,barrets, hakikisha tu zina rangi na quality nzuri ambazo zinafaa kuvaliwa ofisini.


Hakikisha pia mavazi yako ni classy na yanaendana na viatu mfano mzuri ni huwezi kuvaa open toe sandals na trouser suit haitoleta picha nzuri kama unavaa trouser suit ni vyema ukavaa na pointed toe shoes au boots.


Open toe sandals ni vyema kama utazivaa ukiwa umevalia bwanga, skirt au gauni ndefu pia hakikisha umepaka rangi vidole na mafuta miguuni ili kuonekana vyema.


Mwisho kuwa confident na ulichovaa lakini pia hakikisha una accessoriez vyema muonekano wako kuendana na ulipo, kazi njema.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…