Zamaradi Mketema ni moja ya watangazi pendwa hapa Nchini kwetu,lakini pia ni mwanamke anaetazamwa na wengi kutokana na ushwawishi wake mkubwa katika jamii, ukiachana na utangazaji Zamaradi anapenda fashion. Japo si mara nyingi anapenda kuonekana amevaa nini lakini mara chache anazoonekana anaonekana amevaa stylish,
Zamaradi amepost muoenekano wake mpya katika page yake ya Instagram & we must say tumependa tulicho kiona, Zamaradi ameonekana akiwa amevalia mustard two piece outfit ambapo top ya juu ni off shoulder ambayo imemkaa vizuri showing her shoulders, lakini chini amevaa surualu uyokuwa fitted well na pumps nyeusi
Amemaliza muonekano wake na statement necklace huku akiwa ameachia weaving lake, we wish angestyle hii weaving kidogo but all in all haija haribu muonekano wake, well seen Zamaradi serving us classic looks ina tupa matumaini katika watangazaji slayers Tanzania.
Week iliyopita tulimuweka Amina kutoka Kenya kama Woman Crush wetu, yeye ni mtangazaji kutoka Kenya ambae huwa anapendeza sana kazini na nje ya kazi lakini pia anavaa brand za Kenya, ikatufanya tujiulize wetu wanakwama wapi? Tunaona Zamaradi ameanza na hopeful hatoishia hapa tunaomba kuwaona na wengine pia wakike na kiume mkijaribu kujitengeneza katika mavazi.
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/zamaradi-mketema-serving-us-classic-look/ […]