Imekuwa muda mrefu toka tuwaletee vitu vinavyotrend Duniani kwasasa well we are back na kuanza tunaanza na hii bag kutoka katika kampuni ya mavazi ya Zara. Kama wewe ni mpenzi wa handbag na hujui bag ipi ipo kwenye trend basi leo tunakuletea hii kwa ajili yako.

Quilted Shoulder Bag kutoka Zara ni bag ndogo tu sio kubwa sana ya kusema utabeba clinic, ila ni kubwa enough kuweka simu,funguo, wallet yaani inafaa kwaajili ya ile mitoko ambayo haina hekaheka nyingi kama brunch, night out au kwenye errands za kawaida.



Bag hii inauzwa Usd 39.40 sawa na Tsh 91,289.80 Na inakuja katika rangi mbalimbali kama fuchsia ikiwa silver hardware, coral ikiwa na gold, creamy white, butter yellow, lilac, kijani, pink, blue rangi ni nyingi mno.
Bag za aina hii zipo pia kariakoo zinaweza kuwa sio Zara ila zinaendana kiasi unaweza kujipatia yako ikiwa na material nzuri kwa bei nafuu.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/zara-quilted-chain-strap-shoulder-bag-inavyotrend-kwasasa/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/zara-quilted-chain-strap-shoulder-bag-inavyotrend-kwasasa/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/zara-quilted-chain-strap-shoulder-bag-inavyotrend-kwasasa/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 9847 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/zara-quilted-chain-strap-shoulder-bag-inavyotrend-kwasasa/ […]