Kama kuna kanuni ambayo wengi hujaribu kuifuata wanapo kwenda katika harusi ni kuto kuvaa nyeupe, hii ni kutokana na kwamba bibi harusi anavaa hio rangi kwaio ni vyema akaachwa yeye ashine na rangi yake wakati sisi wengine tukivaa mavazi ya rangi nyingine ambayo yawe yamewekwa kama theme au kuto kuwekwa lakini unaweza kuvaa nyeupe endapo tu ni theme ya harusi hio.
Well tulimuona dada Lady Jaydee akiwa amevaa gauni jeupe katika harusi ya mwanamuziki Ambwene Yessaya A.K.A Ay, well watu walimpigia kelele lakini ni kwamba theme ya sherehe au harusi ilikuwa white, wageni waalikwa walitakiwa kuvaa nyeupe na tunajua unapo pewa theme inabidi uifuatishe
Wakati tukiendelea kutafakari juu ya hii all white theme katika harusi tukamuona mwanadada Abby akiwa amevaa nyeupe pia katika harusi, ikatubidi tuchunguze kwa makini kujua kwanini alivaa white na yeye pia ikaonekana theme ya sherehe hio ilikuwa white, well tukasema okay its a theme so she had too. lakini bado hii ikawa akilini mwetu kwamba kama harusi inaweza kuwa na theme ya kuvaa nyeupe je ni kwanini tunaambiwa tusivae nyeupe kama theme si nyeupe?
lakini recently Zarina Hassan (diamond platnumz baby mama) ameonekana pia akiwa ame attend harusi akiwa amevaa nyeupe, mind you ni kwamba all these weddings zimefanyika beach, na theme ilikuwa nyeupe
Well do let us know maoni yako katika kuvaa nyeupe kwenye harusi even if its a theme of the wedding
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/zarina-hassanabby-na-lady-jaydee-wamevunja-kanununi-kubwa-ya-wedding-guest-do-and-donts/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/zarina-hassanabby-na-lady-jaydee-wamevunja-kanununi-kubwa-ya-wedding-guest-do-and-donts/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/zarina-hassanabby-na-lady-jaydee-wamevunja-kanununi-kubwa-ya-wedding-guest-do-and-donts/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/zarina-hassanabby-na-lady-jaydee-wamevunja-kanununi-kubwa-ya-wedding-guest-do-and-donts/ […]