Ni msimu wa kutoa nakupokea zawadi, as we all know Christmas is around na jingle bells zishaanza kulia, well wengi tunakuwa na mawazo ya nini umzawadie mpendwa wako na by mpendwa hatumaanishi tu babe ila yoyote umpendae awe mama, dada, kaka, shangazi, baba yoyote alimradi unampenda na ungependa kumpa zawadi, leo tunakuletea bidhaa 8 kutoka katika brand za ki-Tanzania ambazo sisi tumeona zinafaa kumzawadia mpendwa wako.
- Body Spray & Perfumes
Fyn By Falsafa – @mwanafa
Aunty Body Spray – @auntyezekiel
inawezakana umekutana nayo lakini hukuwa unajua kama ni brand ya Tanzania, well yes hizi perfumes ni bidhaa kutoka Tanzania na mmiliki wake ni muigizaji maarufu Aunty Ezekiel, Tunajua mchango wa perfumes na body spray katika miili yetu, kuondoa zile jasho na karaha za harufu za hapa na pale basi Aunty Body Spray ni jibu lako.
LuvTouch Fragrance Mist / Body Splash – @shekhamanjano
Brand ya Luv Touch imetoa product mpya ambayo ni LuvTouch Fragrance Mist / Body Splash nazo ni kwa ajili ya kujipulizia kupata harufu nzuri zipo aina tofauti tofauti inategemea na mapenzi yako, zinapatikana katika maduka ya Luv Touch kwa shilingi elfu 30,000/-
- Beauty
Katika mambo ya urembo, makeup, ngozi unaweza kupata bidhaa hizi kutoka kwa Tanzania pia kwa bei nafuu ambazo unaweza ku-afford
REIGN NOIR Eyeshadow pallet – laviemakeup
Upendo Shuma au wengi tunamjua kama Lavie Makeup, amekuja na bidhaa yake iitwayo Reign Noir hii ni eyeshadow pallet huwa zinatumiwa na wanawake sana, kama una mwanadada ambae unafikiria kumpa zawadi basi hii inamfaa, kwa sasa wadada wengi wanapenda makeup add that REIGN NOIR Eyeshadow pallet on her makeup kit
Lavy Hand Cream – @lavyproducts
Mwanamitindo Flaviana Matata ameongeza product mpya katika kampuni yake ya Lavy Product, Product yake mpya ni hand cream kwa ajili ya kulainisha na kufanya mikono inukie, well what a gift. Unaweza mzawadia mpenzi wako REIGN NOIR Eyeshadow pallet, Body Spray yoyote kutoka hapo juu na Lavy Hand Cream
- FLAVIANA MATATA AZINDUA LAVY
- Mikoba
Hii inaweza kuwa kwa upande wa kike na wa kiume
Ukili baskets by bijoux trendy – @bijouxtrendy
Unaweza kumnunulia umpandea ukili baskets kutoka kwa mbunifu Bijoux Trend anaweza kuendea sokoni, beach au hata katika maumizi ya hapa na pale ya shopping, as we all know mwaka huu ukili umetamba sana hasa hivi vikapu, na wanaweza kukuandikia chochote upendacho
- AR KitengeLeather Bag – @AllyRehmtullah
Unaweza kumchukulia hii bag ya kitenge kutoka kwa mbunifu Ally Rehmtullah pia akawa anabeba kwenye mizunguko yake, hii ina bebwa na jinsia yoyote na unaonekana unadumisha vile vya nyumbani
- Tusiwasahau watoto
Bora Star By Vanessa Mdee – @vanessamdee
Mwanamuziki kutoka Tanzania Vanessa Mdee jana ametoa bidhaa yake ya viatu vya shule kwaa ajili ya watoto wa kike, Ikiwa wapo mapumzikoni unaweza kumnunulia mwanao viatu hivi kama zawadi ya Christmas iliaweza kuvitumia pale shule zinapofunguliwa
Well kwanini ukimbilie nje wakati vya kwetu vipo?
Related posts
6 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 88547 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/zawadi-8-za-kuwazawadia-wapendwa-wako-msimu-huu-wa-sikukuu-kutoka-katika-brand-za-tanzania/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/zawadi-8-za-kuwazawadia-wapendwa-wako-msimu-huu-wa-sikukuu-kutoka-katika-brand-za-tanzania/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/zawadi-8-za-kuwazawadia-wapendwa-wako-msimu-huu-wa-sikukuu-kutoka-katika-brand-za-tanzania/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/zawadi-8-za-kuwazawadia-wapendwa-wako-msimu-huu-wa-sikukuu-kutoka-katika-brand-za-tanzania/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/zawadi-8-za-kuwazawadia-wapendwa-wako-msimu-huu-wa-sikukuu-kutoka-katika-brand-za-tanzania/ […]
christmas jazz instrumental
christmas jazz instrumental