Zuchu amepiga hatua kubwa sana ki-muziki, kwenye ku-pose kama tunakumbuka zamani aliwa ha-relax lakini pia amepiga hatua kwenye mavazi. Anavaa according to her age na status, well kuna vitu vidogovidogo ambavyo anahitaji kuviangalia ili awe na ile star quality.
- Kutembea kama kuna msanii ana mwendo mbaya akiwa amevalia heels basi ni Zuchu, anatakiwa kutembea heel to toe lakini yeye ana tembea vice versa anakuwa kama anasukumwa or something yaani kama ana shuka milima na hii si mara ya kwanza kukiona hiki kitu kutoka kwake. As tunaona Wasafi wana ukaribu na models kama Jihan, Hapiness Magese etc tunadhani wachukue muda wao kuwaomba wamfundishe bi. dada kutembea.
2. Kutafuna, Zuchu anapenda kutafuna Bubble gums lakini hana ile manner ya kutafuna vyema hasa kama upo mbele ya adhara, as a lady na msanii mkubwa unahitaji kuwa soft and smooth with it.
3. Kuchagua mavazi ambayo yupo comfortable nayo, tumemuona kwenye harusi ya Diva akiwa amevaliaa hii gauni nzuri kabisa lakini hakuwa comfortable nayo mpasuo ulikuwa mrefu sana akawa ana jificha ficha, next time usimfanye mbunifu au stylist aridhike wewe ndio unaonekana ukiwa umevalia hii nguo, unahitaji kuwa comfortable ku-move nayo as wewe ndie tunaekuona umevalia na sio wao
Tunadhani akirekebisha haya machache atakuwa mcharo.
Related posts
6 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/zuchu-anahitaji-msasa-kwenye-vitu-hivi-vitatu/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/zuchu-anahitaji-msasa-kwenye-vitu-hivi-vitatu/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/zuchu-anahitaji-msasa-kwenye-vitu-hivi-vitatu/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/zuchu-anahitaji-msasa-kwenye-vitu-hivi-vitatu/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/zuchu-anahitaji-msasa-kwenye-vitu-hivi-vitatu/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/zuchu-anahitaji-msasa-kwenye-vitu-hivi-vitatu/ […]