Hivi karibuni tumemuona first lady wa WCB label, Zuchu akiwa amevalia hizi boots za plastic ambapo katika kuziangalia sana tuligundua zimetoka kwenye fashion house ya Balenciaga.
Boots hizi zinaitwa Balenciaga Mid Calf Boots ambapo zinakuja katika rangi 3 pink, beige na black. Boots hizi ni collaboration between Balenciaga and Crocs sees the two brands join forces, with the fashion house bringing unique creativity to match the clogs seller’s functional design

Zuchu yeye alivalia za rangi ya kijani na pink ambapo pink alivalia na co ord set za njano wakati za kijani ali-match na teo co ord set za kijani na njano.

Boots hizi zinauzwa $820 sawa na Tsh 1,989,328.20 kwa mbili ni sawa na Tsh 3,978,656.40/- well tuambie slap or clap kwa hivi viatu?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…