Kwa sasa karibu kila mwanadada anamiliki makeup na makeup brushes, lakini wengi wetu inachukua miezi kusafisha hizi brushes tukiona hakuna umuhimu wakufanya hivyo leo tunakuletea sababu tatu muhimu za kwanini unahitaji kusafisha makeup brushes zako mara kwa mara

1. Brush zinabeba bacteria utaweka kwenye ngozi yako.Kama wewe una brush ya make up ambayo toka ununue au utunzwe kwenye party au birthday unatumia tu hujawahi kuosha hii ndio sababu kubwa ya chunusi zako. Unarudishia humo humo kila siku. Unahitaji kubadilika kwa hili.
2. Utaharibu make up yakoKwa sababu izo brush za make up zinabeba wadudu unawahamishia kwenye make up yako na kufanya isidumu kwa muda uliokusudiwa. Yes unatumia make up nzuri original ila unalalamika inakutoa rashea na chunusi. Sis ni lazima sababu hujawahi ziosha.
3. Utaharibu Makeup Brushes Zako, kitu chochote ukikitunza ndio kinadumu. Usiseme make brush za fulani ni fake, hazidumu wakati hauzitunzi. Yes osha brush zako na uzitunze zitadumu na utsev hela zako.
Jinsi ya kuosha make up brush zako angalia maelekezo kutoka kwa mtengenezaji husika. Na kuna sabuni maalum ya kuoshea vile vile kuna ambazo huanikwa kwenye jua kali au la kiasi ama kukaushwa.
Hakikisha unazingatia maelekezo ya mtengenezaji kudumisha ubora wa make up brushes zako.
©️binturembo
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…